Posts

Showing posts from October, 2017

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ameahidi kukabiliana na Korea Kaskazini

Image
Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ameahidi kukabiliana vilivyo na Korea Kaskazini baada ya matokeo ya kwanza kuonyesha kuwa alipata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa siku ya Jumapili. Bw. Abe alikuwa ameitisha uchaguzi wa mapema kwa ahadi ya kukabiliana na changamoto zinazoikabili Japan, likiwemo tisho kutoka Korea Kaskazini. Vyombo vya habari vinaripoti kuwa muungano wa Bw. Abe umeshinda theluthi mbili ya viti vya bunge. Hii inampa Bw. Abe nafasi ya kuifanyia mabadiliko katiba ya baada ya vita vya pili vya dunia. Awali waziri mkuu alikuwa ametoa wito wa kutaka jeshi la nchi lifanyiwe mabadiliko, hatua yenye utata ambayo anasema kuwa inahitajika kuboresha ulinzi wa jeshi la Japan. Akizungumza baada ya kutolewa matokeo ya kwaza Bw. Abe alisema: "Jinsi nilivyoahidi lengo langu kubwa ni kuikabili Korea Kaskazini. Vyombo vya habari vinaripoti kuwa muungano wa Bw. Abe umeshinda theluthi mbili ya viti vya bune. Miezi miwili tu iliyopita umaarufu wake ulikuwa ukishuka kufuatia kup...

African leaders call for strengthened military intervention in DRc

Image
Heads of State and government who met at Brazzaville, the Republic of Congo have come with such a proposal for MONUSCO (The United Nations Organisation Stabilisation Mission in the Democratic Republic of the Congo) with a view to adapting it to the new challenges in the fight against the negative forces operating in eastern DRC. A communique released yesterday by Ambassador Innocent Shiyo from the Department of Regional Cooperation of the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation said the leaders are after maintenance of military pressure and enhancement of operations against the armed groups, including in particular the ADF, FDLR,Kamuina Nsapu and other armed and terrorist groups that destabilise the DRC. Under chairmanship of Republic of Congo President, Mr Denis Sassou Nguesso, the high-level meeting sent a strong and unequivocal message to all foreign disarmed combatants in the DRC, including FDLR and the Sudan People’s Liberation Movement/Army-In Opposition (...